Check out the new design

Translation of the Meanings of the Noble Quran - Swahili translation - Abdullah Muhammad & Naser Khamis * - Index of Translations


Translation of the Meanings Verse: (9) Surah: Al-Baqarah
يُخَٰدِعُونَ ٱللَّهَ وَٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَمَا يَخۡدَعُونَ إِلَّآ أَنفُسَهُمۡ وَمَا يَشۡعُرُونَ
Wanaitakidi, kwa ujinga wao, kuwa wao wanamdanganya Mwenyezi Mungu na Waumini, kwa kudhihirisha kwao Imani na kuficha kwao ukafiri, na wao hawamdanganyi yoyote isipokuwa nafsi zao wenyewe, kwa kuwa madhara ya kudanganya kwao yanawarudia wao. Na kwa kuwa ujinga wao umekolea na nyoyo zao zimeharibika, huwa hawana hisia ya hilo.
Arabic Tafsirs:
 
Translation of the Meanings Verse: (9) Surah: Al-Baqarah
Index of Surahs Page Number
 
Translation of the Meanings of the Noble Quran - Swahili translation - Abdullah Muhammad & Naser Khamis - Index of Translations

Translated by Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr & Sh. Naser Khamis

Close