Check out the new design

Translation of the Meanings of the Noble Quran - Swahili translation - Abdullah Muhammad & Naser Khamis * - Index of Translations


Translation of the Meanings Verse: (2) Surah: An-Nahl
يُنَزِّلُ ٱلۡمَلَٰٓئِكَةَ بِٱلرُّوحِ مِنۡ أَمۡرِهِۦ عَلَىٰ مَن يَشَآءُ مِنۡ عِبَادِهِۦٓ أَنۡ أَنذِرُوٓاْ أَنَّهُۥ لَآ إِلَٰهَ إِلَّآ أَنَا۠ فَٱتَّقُونِ
Mwenyezi Mungu Anawateremsha Malaika kuleta wahyi kwa amri Yake kwa anayemtaka miongoni mwa waja Wake waliotumilizwa kwamba watisheni watu na ushirikina na waambieni kwamba hapana wa kuabudiwa kwa haki isipokuwa mimi. Hivyo basi, nicheni kwa kutekeleza faradhi zangu na kunipwekesha kwa kuniabudu na kunitakasa.
Arabic Tafsirs:
 
Translation of the Meanings Verse: (2) Surah: An-Nahl
Index of Surahs Page Number
 
Translation of the Meanings of the Noble Quran - Swahili translation - Abdullah Muhammad & Naser Khamis - Index of Translations

Translated by Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr & Sh. Naser Khamis

Close